Home
 About UNIC
 Media Accreditation
 Latest News
 UN Gazeti
 Library and Publications
 UN Days & Observances
 UN in Kenya Person of the year
 Model United Nations
 Educational Outreach
 Liaison with NGOs
 UNIC Nairobi Photo Gallery
 Key UN Resources
 UN Agencies in Nairobi
 UN Agencies in Kampala
 UN Agencies in Victoria

 

 

Kiswahili Radio Programme - Timiza Ahadi

Every day, the United Nations Information Centre (UNIC) records a 5-minute radio Programme aired on the Kenya Broadcasting Corporation (KBC) Radio. The Programmes feature news related to the work of the United Nations in Kenya. The Programme has been on air, on weekdays, since January 2006 at 9.15 AM, on the Kenya Broadcasting Corporation’s Idhaa ya Taifa (Kiswahili service).

Within the first year, two hundred and thirty eight (238) episodes have been aired. The objective of the daily 5-minute Kiswahili radio Programme is to educate the general public on the importance of the Millennium Development Goals and their relevance, and to communicate to the general public the objectivities and activities of the United Nations Agencies operating in the country. The Programme is presented by a KBC Senior Radio Producer and Head of Current Affairs, Martin King’asia, and produced by Irene Mwakesi, National Information Officer UNIC.

The broadcast also provides a platform for UN agencies in Kenya to report on their various activities across the country. The title of the Programme and its focus is closely related to the Millennium
Declaration and Millennium Development Goals, the challenges to achieve them in Kenya and achievements recorded by UN agencies together with government and donor partners.

Programu za Timiza ahadi za awali
cemiride Ms Patita Tongoi wa center for minority rights development azungumzia juu ya mkutano unaozinduliwa kuhusu mtoto wa wafugaji wa kuhamahama- 26 Octoba 2007.
cemiride Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali ya mapema na taadhmini aelezea kuhusu kuzinduliwa kwa GEO-4- 25 Octoba 2007.
UNHABITAT Ms Janice Mbugua asimulia mengi kuhusu siku ya Umoja wa Mataifa inayoadhimwishwa tarehe 24 Octoba - 24 Octoba 2007.
Global Mr Charles Mwangi Waituru, mshirikishi wa kitaifa wa Global Call to Action against Poverty aelezea juu ya ushirikiano wa mataifa ili kuelimisha jaa, lengo la nane (ustawishi wa ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya maendeleo) katika MDGs- 16 Octoba 2007.
MDGS Ms Karen Ekesa afisa wa Programmu katika Forest Action Network Kenya azungumzia juu ya lengo la saba, (mazingira) katika MDGs- 15 Octoba 2007.
MDGS Ms Karen Ekesa afisa wa Programmu katika Forest Action Network, Kenya azungumzia juu ya lengo la sita (Ukimwi, malaria na magojwa mengineyo) katika MDGs - 12 Octoba 2007.
MDGS Ms Sylvia Mudasia, mshirikishi wa maswala ya mawasiliano katika Afrika kwenye mikakati ya MDGs azungumzia juu ya lengo la nne na tano (afya ya kina mama na watoto) katika MDGs- 11 Octoba 2007.
MDGS Mr Edgar Charles Lumbasio, mshirikishi wa maswala ya mawasiliano katika Christian Partners Development Agency (CPDA) azungumzia juu ya lengo la tatu (maswala ya jinsia) katika MDGs - 10 Octoba 2007
MDGS Mr Mwangi Waituru, mshirikishi wa kitaifa muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali (Global Call to action against poverty azungumzia juu ya lengo la pili (elimu kwa watoto wote) - 09 Octoba 2007.
MDGS Mr Edgar Charles Lumbasio, mshirikishi wa maswala ya mawasiliano katika Christian Partners Development Agency (CPDA) azungumzia juu ya lengo la kwanza (kupigana na umaskini) katika MDGs- 08 Octoba 2007.
MDGS Ms Sylvia Mudasia, mshirikishi wa maswala ya mawasiliano katika Afrika kwenye mikakati ya MDGs - 05 Octoba 2007.
Global Mr Mwangi Waituru, mshirikishi wa kitaifa muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali (Global Call to action against poverty azungumzia mengi kuhusu MDGs- 01 Octoba 2007.
UNHABITAT

Mr Juma Asiago, Afisa wa Programmu anayeshughulikia makaazi ya kibiinadamu pamoja na usalama katika miji, UNHABITAT azungumza juu ya matumizi mabaya ya silaha nchini Kenya - 03 Octoba 2007.

UNHABITAT Mr Paul Wambua, Afisa wa Programmu UNHABITAT azungumza juu ya mikakati ya kuunganisha vijana kati ya bara Africa na Uraya - 27 Septemba 2007.
UNIFEM Ms Penina Gathuri, Afisa wa Programmu UNIFIFEM aelezea mengi kuhusu shughuli za UNIFEM nchini Somalia katika miaka ya hivi karibuni- 24 Septemba 2007.
Nairobi Basin Mr Henry Ndede, Afisa wa Programmu UNEP azungumza juu ya harakati za UNEP na wengineo kusuusafisha mto wa Nairobi - 20 Septemba 2007.
UNODC Mr Samson Maita mkuu wa taasisi ya Omar kutoka malindi inayoshughilia kubadilishwa kwa taabia kwa vijana wanao shinda ya ulanguzi wa maadawa ya kulevya - 10 Septemba 2007
World Food Programme Ms Ruth Amatalo afisa wa WFP Kenya pande ya Pwani aongea juu ya huduma za WFP kwenye wilaya za pwani - 04 Septemba 2007
World Food Programme Ms Ruth Amatalo afisa wa WFP Kenya pande ya Pwani aongea juu ya huduma za WFP kwenye wilaya za pwani - 03 Septemba 2007
UNODC Mr Samson Maita and Ahmed Mundalis kutoka taasisi ya Omar kutoka malindi waongea juu ya madhala ya madawa ya kulevya. - 29 Agosti 2007
Munya Mr David Kimaiyo, naibu wa kamishna wa polisi, Kenya, azungumzia juu ya madhala ya silaha ndogondogo katika kufunguliwa kwa maonyesho yaliyomo UN Gigiri, Nairobi - 13 Agosti 2007
Munya Mr Peter Munya, naibu wa waziri wa usalama wa ndani nchini Kenya, azungumzia juu ya madhala ya silaha ndogondogo katika kufunguliwa kwa maonyesho yaliyomo UN Gigiri, Nairobi - 10 Agosti 2007
EARMUN Ms Naki Kiroga, mshiriki kutoka Tanzania wa kongamano na Ms Mgoma Kangi kutoka Kenya wasimulia kuhusu makubaliano ya EARMUN - 03 Agosti 2007
World Food Programme Ms Beatrice Mwongela, Afisa Msimamizi wa shirika la WFP eneo la mashariki na Kaskazini mashariki mwa Kenya, asema mengi kuhusu vile shirika hilo hujua watu wanaohitaji msaada wa chakula nchini Kenya - 2 Agosti 2007
World Food Programme Ms Beatrice Mwongela, Afisa Msimamizi wa shirika la WFP eneo la mashariki na Kaskazini mashariki mwa Kenya, asema mengi kuhusu vile shirika hilo hujua watu wanaohitaji msaada wa chakula nchini Kenya - 2 Agosti 2007
EARMUN Mr Charles Kyalo, mratibu mkuu wa kongamano la kielelezo cha Umoja wa Mataifa, EARMUN na Mr Lawrence Juma mratibu kutoka Tanzania wasimulia kuhusu EARMUN - 31 July 2007
UNIFEM
Ms Peninah Gathuri, afisa wa Programmu, UNIFEM azungumzia juu ya harakati za shirika la wanawake la umoja wa mataifa (UNIFEM) nchini Somalia - 27 Julai 2007
World Food Programme
Mr Isaiah Ofuyo afisa wa habari za uma WFP aongea zaidi juu ya huduma za shirika la chakula ulimwenguni (WFP) nchini Kenya - 20 Julai 2007
World Food Programme
Mr Peter Ndumbi, mmoja wa afisa mwandarizi, UNHABITAT azungumza juu ya bidii za kuondoa vijana kutoka kwa uraibu wa dawa za kulevya - 16 Julai 2007
World Food Programme
Naibu wa Katibu mkuu wa Mataifa, Dr Asha-Rose Migiro azimulia kuhusu ziara yake barani Africa, kuhusu mkutano wa wanawake ulioandaliwa hapa Kenya na pia kuhusu watu wanaoishi na virusi vya ukimwi katika Umoja wa Mataifa. - 05 Julai 2007
World Food Programme
Ms Nais Mason, afisa anayefanya kazi na UNICEF azungumza juu ya kuzinduliwa kwa mpango wa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi ambao ni wafanyikazi wa Umoja wa Mataifa. - 04 Julai 2007
World Food Programme
Mr Caleb Angila, mkurugenzi wa mradi wa Asumbi, Homabay, Kenya, mradi wa urekebishaji wa tabia za walaibu wa dawa za kulevya- 03 Julai 2007
World Food Programme
Dr Philista Onyango, Direkta wa ANPPCAN aongea kuhusu ya ulanguzi wa wanadamu katika mkutano uliokuwa Kampala, Uganda- 27 Juni 2007
World Food Programme
Ms Susan Gitau, Mshauri wa UNODC aongea juu ya matumizi ya dawa za kulevya nchini Kenya - 23 Juni 2007
World Food Programme
Ms Agnes Musau, Afisa wa Programmu, Child Welfare Society - Kenya, aongea juu ya uajili na kufanyishwa kazi kwa watoto kinyume cha sheria - 22 Juni 2007
World Food Programme
Ms Ursula Sore Bahati, Meneja wa Programmu ya jinsia na utawala UNIFEM, aongea juu ya adhali za magonjwa ya ukimwi kwa wanawake - 21 Juni 2007
World Food Programme
Mr Isaiah Ofuyo afisa wa habari za uma WFP aongea zaidi juu ya huduma za shirika la chakula ulimwenguni (WFP) - 19 Juni 2007
Day of the African Child Ms Agnetta Mirikau, Afisa wa Watoto UNICEF, aongea mengi kuhusu siku ya mtoto wa Africa iliyosherehekewa tarehe 16 Juni 2007 - 18 June 2007
Ms Miriam Nduta na Ms Joan Ikandi kutoka shule ya Mary Hill, Thika waongea juu ya unyanyasaji wa watoto - 14 Juni 2007
Vice President of Kenya, H.E. Moody Awori Ms Purity Kagura, Afisa wa Bustani aongea juu ya siku ya Mazingira Ulimwenguni - Kenya 2007 - 9 June 2007
Vice President of Kenya, H.E. Moody Awori Mr David Ombisi, Afisa wa Programmu, UNEP aongea juu ya kubadilika kwa mazingira - 5 Juni 2007
Vice President of Kenya, H.E. Moody Awori Makamu wa Rais Moody Awori aongea mengi juu ya unyanyasaji wa watoto - 28 Mai 2007