Kiswahili Radio Programme - Timiza Ahadi
Every day, the United Nations Information
Centre (UNIC) records a 5-minute radio
Programme aired on the Kenya Broadcasting
Corporation (KBC) Radio. The Programmes
feature news related to the work of the
United Nations in Kenya.
The Programme has been on air, on
weekdays, since January 2006 at 9.15 AM,
on the Kenya Broadcasting Corporation’s
Idhaa ya Taifa (Kiswahili service).
Within
the first year, two hundred and thirty eight
(238) episodes have been aired.
The objective of the daily 5-minute Kiswahili
radio Programme is to educate the general
public on the importance of the Millennium
Development Goals and their relevance, and
to communicate to the general public the
objectivities and activities of the United
Nations Agencies operating in the country.
The Programme is presented by a KBC
Senior Radio Producer and Head of Current
Affairs, Martin King’asia, and produced by
Irene Mwakesi, National Information Officer
UNIC.
The broadcast also provides a platform for
UN agencies in Kenya to report on their
various activities across the country.
The title of the Programme and its focus
is closely related to the Millennium
Declaration and Millennium Development
Goals, the challenges to achieve them in
Kenya and achievements recorded by UN
agencies together with government and
donor partners.
| Programu iliyo hewani |
|
Prof. Mary Abukhusa ,Kutoka Chuo kikuu cha Jomo Kenyatta akizungumza juu ya utafifi ya vyakula ya Kiasili - Katika Maadhimisho ya UHANUAI (BIODIVERSITY) Duniani.- 2010. |
| Programu zinginezo |
|
Ms Alice Mchogi Kutoka ICRAF akizungumzia juu ya Uhifadhi wa misitu. |
|
Ms Rose Ogola Kutoka WFP akizungumzia juu ya ununuzi wa mazao ya chakula kutoka kwa wakulima wadogo wadogo-2010. |
|
Mr Emmanuel Nyabera akizungumza juu ya wakimbizi katika maadhimisho ya Wakimbizi duniani- 2010. |
|
Prof. Judith Kibue akizungumza juu ya rishie bora pamoja na Uhanuai( biodiversity)- 2010 |
|
Mr Mwangi Waituru, mshirikishi wa kitaifa muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali (Global Call to action against poverty) azungumzia juu ya siku ya kupigana na ufukura duniani- 15 Octoba 2008 |
|
Mr John Kariuki, naibu afisa mkuu wa afya umma kwa wizara ya afya na umma, aongea zaidi juu ya siku ya kuunawa mikono - 14 Octoba 2008. |
|
Mr John Kariuki, naibu afisa mkuu wa afya umma kwa wizara ya afya na umma, aongea zaidi juu ya siku ya kuunawa mikono - 10 Octoba 2008. |
|
Prof. Jossy Materu, afisa mwandamizi wa UN-Habitat azungumzia juu ya ziara ambayo ilikuwa Bahrain kwa minajiri ya wakuu wa Wilaya katika Afrika Mashariki - 08 Octoba 2008 |
|
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali ya mapema na taadhmini, aongea zaidi juu ya taahadhali za mabadiliko ya hew - 07 Septemba 2008. |
|
Mr Emmanuel Nyabera anayeshikiria maswala ya mawasilian katika shirika la UNHCR, juu ya fujo zilizoko Somalia -06 Septemba 2008. |
|
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali ya mapema na taadhmini, aongea juu ya taahadhali za mabadiliko ya hew - 10 Septemba 2008. |
|
Mr Gift Katani, Afisa wa Mipango, UN-Habitat, azungumzia mengi kuhusu kazi ya shirika la Maakazi duniani - 12 Septemba 2008 |
|
Mr Kenneth Kamenchu, mtaalamu wa maswala ya Vijana na Spoti kutoka UN-habitat, azungumzia mengi kuhusu siku ya vijana ulimwenguni - 12 Agosti 2008 |
|
Mr Peter Kagwimi, afisa wa ushirikiano wa kijamii na Pauline Nyota, Umade Trust wakizungumzia kuhusu uzinduzi wa mradi endelevu wa kuzoa taka mjini Kisumu- 22 Julai 2008 |
|
Mr Henry Ndede mshirikishi wa Programmu, UNEP azungumzia juu ya usafishaji wa mto Nairobi - 17 Julai 2008. |
|
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali ya mapema na taadhmini, aongea juu atlasi iliyozinduliwa na UNEP- 15 Julai 2008. |
|
Mr Isaiah Ofuyo afisa wa habari za uma WFP aongea zaidi juu ya huduma za shirika la chakula ulimwenguni (WFP) nchini Kenya - 17 Juni 2008 |
|
Prof. Jossy Materu wa UN-Habitat juu ya Miradi ya UN-Habitat mjini Kisumu na mazingira ya ziwa Victoria - 16 Juni 2008 |
|
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali ya mapema na taadhmini, aongea juu adhali za maabadiliko ya hewa nchini Kenya - 12 Juni 2008. |
|
Prof. Jossy Materu wa UN-Habitat juu ya Miradi ya UN-Habitat mjini Kisumu na mazingira ya ziwa Victoria - 11 Juni 2008 |
 |
Bi Rukia Subow , mwenyekiti wa shirika la wanawake nchini Kenya, azungumzia juu ya kulejesha amani baada ya ghasia zilisokuweko nchini baada ya uchaguzi mkuu - 09 Juni 2008. |
 |
Lt Generali Julius Waweru Karangi, naibu wa mkuu wa majeshi ya Kenya katika sherehe za kuadhimisha miaka 60 tangu Umoja wa mataifa kuaaza mradi wa kulinda amani duniani - 30 Mai, 2008. |
 |
Lt Generali Julius Waweru Karangi, naibu wa mkuu wa majeshi ya Kenya katika sherehe za kuadhimisha miaka 60 tangu Umoja wa mataifa kuaaza mradi wa kulinda amani duniani - 29 Mai, 2008. |
 |
Bi Rukia Subow , mwenyekiti wa shirika la wanawake nchini Kenya, azungumzia juu ya kulejesha amani baada ya ghasia zilisokuweko nchini baada ya uchaguzi mkuu - 28 Mai, 2008. |
 |
Dr Brigitte Nyambo, afisa msimamizi katike shirika la sayanzi ya wadudu kwa ajili ya chakula na afya (ICIPE) katika kuadhimisha siku ya uhanuai- 20 Mai 2008. |
 |
Mr Emmanuel Mpinga, afisa mtaalamu wa elimu wa wavuti katika kitengo cha DCPI, UNEP - 29 April 2008. |
 |
Mr Emmanuel Mpinga, afisa mtaalamu wa elimu wa wavuti katika kitengo cha DCPI, UNEP - 29 April 2008. |
 |
Ms Pamela Tuiyot, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM azungumzia juu ya mapendekezo yaliyotololewa kwa taadhmini iliyotiwa sahihi hasa kuhusu dhuruma za wanawake nchini Kenya - 28 April 2008. |
 |
Mr Mwangi Waituru, mshirikishi wa kitaifa muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali (Global Call to action against poverty) azungumzia juu ya kupigana na ufukura duniani- 22 Februari 2008 |
 |
Ms Pamela Tuiyot, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM azungumzia juu ya athari za mzozo wa kisiasa unaoikumba nchi ya Kenya - 20 Februari 2008. |
 |
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali za mapema na taadhmini, azungumza juu ya hali ya maji nchini Kenya na changamoto zake - 06 Februari 2008 |
 |
Ms Pamela Tuiyot, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM azungumzia juu ya mchango wa UNIFEM kuhusu usaidizi wanayotoa kufuatia ghazia za kisiasa nchini Kenya - 05 Februari 2008. |
 |
Ms Olivia Yambi, mwakilishi wa UNICEF nchini Kenya, azungumzia jua ya maadhala ya aghasia za kisiasa kwa wamama na watoto - 03 Februari 2008. |
 |
Mr Bernard Kiura, afisa wa Programmu ILO/IPEC azungumzia juu ya maadhala ya ghasia za kisiasa katika mipango ya ILO/IPEC - 30 Januari 2008. |
| |
|
|