Kiswahili Radio Programme - Timiza Ahadi
Every day, the United Nations Information
Centre (UNIC) records a 5-minute radio
Programme aired on the Kenya Broadcasting
Corporation (KBC) Radio. The Programmes
feature news related to the work of the
United Nations in Kenya.
The Programme has been on air, on
weekdays, since January 2006 at 9.15 AM,
on the Kenya Broadcasting Corporation’s
Idhaa ya Taifa (Kiswahili service).
Within
the first year, two hundred and thirty eight
(238) episodes have been aired.
The objective of the daily 5-minute Kiswahili
radio Programme is to educate the general
public on the importance of the Millennium
Development Goals and their relevance, and
to communicate to the general public the
objectivities and activities of the United
Nations Agencies operating in the country.
The Programme is presented by a KBC
Senior Radio Producer and Head of Current
Affairs, Martin King’asia, and produced by
Irene Mwakesi, National Information Officer
UNIC.
The broadcast also provides a platform for
UN agencies in Kenya to report on their
various activities across the country.
The title of the Programme and its focus
is closely related to the Millennium
Declaration and Millennium Development
Goals, the challenges to achieve them in
Kenya and achievements recorded by UN
agencies together with government and
donor partners.
| Programu iliyo hewani |
|
Mr Isaiah Ofuyo afisa wa habari za uma WFP aongea zaidi juu ya huduma za shirika la chakula ulimwenguni (WFP) nchini Kenya - 12 Juni 2008 |
| Programu zinginezo |
|
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali ya mapema na taadhmini, aongea juu adhali za maabadiliko ya hewa nchini Kenya - 10 Juni 2008. |
 |
Bi Rukia Subow , mwenyekiti wa shirika la wanawake nchini Kenya, azungumzia juu ya kulejesha amani baada ya ghasia zilisokuweko nchini baada ya uchaguzi mkuu - 09 Juni 2008. |
 |
Lt Generali Julius Waweru Karangi, naibu wa mkuu wa majeshi ya Kenya katika sherehe za kuadhimisha miaka 60 tangu Umoja wa mataifa kuaaza mradi wa kulinda amani duniani - 30 Mai, 2008. |
 |
Lt Generali Julius Waweru Karangi, naibu wa mkuu wa majeshi ya Kenya katika sherehe za kuadhimisha miaka 60 tangu Umoja wa mataifa kuaaza mradi wa kulinda amani duniani - 29 Mai, 2008. |
 |
Bi Rukia Subow , mwenyekiti wa shirika la wanawake nchini Kenya, azungumzia juu ya kulejesha amani baada ya ghasia zilisokuweko nchini baada ya uchaguzi mkuu - 28 Mai, 2008. |
 |
Dr Brigitte Nyambo, afisa msimamizi katike shirika la sayanzi ya wadudu kwa ajili ya chakula na afya (ICIPE) katika kuadhimisha siku ya uhanuai- 20 Mai 2008. |
 |
Mr Emmanuel Mpinga, afisa mtaalamu wa elimu wa wavuti katika kitengo cha DCPI, UNEP - 29 April 2008. |
 |
Mr Emmanuel Mpinga, afisa mtaalamu wa elimu wa wavuti katika kitengo cha DCPI, UNEP - 29 April 2008. |
 |
Ms Pamela Tuiyot, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM azungumzia juu ya mapendekezo yaliyotololewa kwa taadhmini iliyotiwa sahihi hasa kuhusu dhuruma za wanawake nchini Kenya - 28 April 2008. |
 |
Mr Mwangi Waituru, mshirikishi wa kitaifa muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali (Global Call to action against poverty) azungumzia juu ya kupigana na ufukura duniani- 22 Februari 2008 |
 |
Ms Pamela Tuiyot, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM azungumzia juu ya athari za mzozo wa kisiasa unaoikumba nchi ya Kenya - 20 Februari 2008. |
 |
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali za mapema na taadhmini, azungumza juu ya hali ya maji nchini Kenya na changamoto zake - 06 Februari 2008 |
 |
Ms Pamela Tuiyot, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM azungumzia juu ya mchango wa UNIFEM kuhusu usaidizi wanayotoa kufuatia ghazia za kisiasa nchini Kenya - 05 Februari 2008. |
 |
Ms Olivia Yambi, mwakilishi wa UNICEF nchini Kenya, azungumzia jua ya maadhala ya aghasia za kisiasa kwa wamama na watoto - 03 Februari 2008. |
 |
Mr Bernard Kiura, afisa wa Programmu ILO/IPEC azungumzia juu ya maadhala ya ghasia za kisiasa katika mipango ya ILO/IPEC - 30 Januari 2008. |
 |
Ms Pamela Sittoni, Afisa wa Mawasiliano UNICEF-KCO azungumzia juu ya changamoto zinazowakuba watoto - 13 Decemba 2007. |
 |
Ms Pamela Tuiyot, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM azungumzia juu ya mchango wa Umoja wa Mataifa katika uchaguzi wa Kenya mwakani- 11 Decemba 2007. |
 |
Ms Pamela Sittoni, afisa wa mawasiliano katika shirika la UNICEF_KCO azungumzia juu ya kampeni ya viongozi wanaojali watoto wakati huu wa uchaguze - 10 Decemba 2007. |
 |
Ms Pamel Tuiyot afisa wa mawasiliano katika shirika la UNIFEM, aeleza mikakati iliyowekwa na Umoja wa mataifa kuhusu dhuuma dhidi ya watu binafsi au vikundi wakati wa huu wa uchaguzii- 07 Decemba 2007. |
 |
Mr Gilruth Peters mkurugenzi wa UNEP kitengo cha tahadhali ya mapema na taadhmini, aongea juu matarajia na mapendekezo ya kwa ripoti ya GEO 4- 04 Decemba 2007. |
 |
Ms Salome Mbeyu, kutoka kitengo cha mazingira ya miji, UNEP azungumzia kuhusu jaa la taka la Dandora- 13 Novemba 2007. |
 |
Ms Patita Tongoi wa center for minority rights development wakiwa na Obbo Ruti wazungumzia juu ya mkutano unaozinduliwa kuhusu mtoto wa wafugaji wa kuhamahama- 12 Novemba 2007. |
| |
|
|